ALBASTINI _ Episode 14

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 апр 2025
  • #kpnazebuu #kp #zebuu
  • КиноКино

Комментарии • 302

  • @KidumeRashid
    @KidumeRashid Час назад +23

    Hapo kp nimekuelewa kweli umefungua kodi kwa anaemkubali kp like ziende kwake zote

  • @KhadijaJohn-u1x
    @KhadijaJohn-u1x Час назад +43

    Mungu atujalie mwisho mwema wote tunao angalia albastini🙏🙏

  • @Dickson20
    @Dickson20 Час назад +74

    Mimi Leo wakwanza from Mozambique naombeni likes jaman ata 3 tu 😂😂

  • @Matabarobienfait
    @Matabarobienfait 59 минут назад +9

    Kakika mulikuwa mumetukata tamaa kabisa ju kukawiya sana vraiment muwanza kutuchangamushiya mambo haraka sana kabisa ina na wependa sana❤❤❤❤❤❤❤ na ma uwa île kwa timu hôte kabisa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 na endeleyea kuwafata nikiwa congo

  • @VictoeMavi
    @VictoeMavi Час назад +24

    Kenyan first guy

  • @GladysAkuku-u5b
    @GladysAkuku-u5b Час назад +5

    Wow my favorite movie kp n pablo nawapenda sana kwa hii movie cjui niwape zawadi gani kwa kweli mnajua adi mwakera

  • @mwajumalubuva
    @mwajumalubuva 17 минут назад +1

    Vipenzi Nawapenda wapedwa wote mungu awalinde kp zebuu tim yako❤❤❤❤

  • @AminaKhalfani-ib7sh
    @AminaKhalfani-ib7sh 52 минуты назад +5

    Kaz nzur sana team kp mungu awape nguvu na maisha marefuu sanaaa🥰🥰

  • @jellymagoha
    @jellymagoha Час назад +11

    Jamani nimeiwayi leo nimekuwa wa kwanza nawapenda sana jamani❤❤❤ mwenyezi mungu awatiye nguvu nawapenda sana sana ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @ruksmohaa7071
    @ruksmohaa7071 10 минут назад +1

    Eeeh Pablo toooshaaa❤❤❤❤❤nakukubali sana tabasamu la katuni hisia za mdoli😂😂😂

  • @AnnaShao
    @AnnaShao Час назад +4

    Mume Tisha sanaaa
    Hongereni kwa kazi nzuri tem kp
    Gonga like apaaa km ume furahia kz nzuri ya tm kp

  • @gogoloveofficial5666
    @gogoloveofficial5666 Час назад +10

    Watu mbona hamulali jameni dakika 13 musha kuwa wengi🎉🎉🎉.Love from GOGO LOVE OFFICIAL TO BURUNDI 🇧🇮

  • @janemumbua4683
    @janemumbua4683 56 минут назад +3

    Wooow ni mechelewa but better later than never wa kenya wenzangu like jamani hata kama kumi

  • @mapenzimwira
    @mapenzimwira 47 минут назад +3

    Kp hongera sana,kazi nzuri sana,mimi na fatiliya ku toka Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @DonMooFILMES_Express
    @DonMooFILMES_Express Час назад +24

    ❤🏆 *Dah! Hiyo scene ya KP kumpulizia dawa huyo jamaa mwenye pisto halafu akaruka kitandani PABLO akapiga teke bastora ikaenda kwa KP mmetisha sana 😂🌹 Maua yenu tafadhari... Yaani hiyo scene aise! 😂 Mimi ni yule yule kaka ake SHEY SHEY WA AKWINO*

    • @siliviaDali
      @siliviaDali Час назад +2

      Mm nmerudia mara 3😂

    • @fatumasephu-v1d
      @fatumasephu-v1d 58 минут назад +1

      Nilikuwa nakutf broo umebadili picha tatzoo pamja broo

    • @AbbyCute-u2i
      @AbbyCute-u2i 53 минуты назад +1

      Jamn nlikuwa nakutafuta dear

    • @NuluKunani
      @NuluKunani 53 минуты назад

      Mim nimepaludia mala mbili

    • @faudhiahassan7907
      @faudhiahassan7907 44 минуты назад

      Yani naingia namtafuta yeye kumbe kabadili picha 😂😂😂😂​@@fatumasephu-v1d

  • @Emmygift-m3c
    @Emmygift-m3c 30 минут назад +3

    Hii ndio ipindi Ya kiswahili nimependa na nitaifuatilia mpaka mwisho✅👍👍wakenya tuweke 👍

  • @SaumuRuwa-r7j
    @SaumuRuwa-r7j 22 минуты назад +2

    Hatimae mzee equino ameamka 😊😊😊

  • @MILCAHWasonga
    @MILCAHWasonga 26 минут назад +3

    Ilaa ayo mahesabu mi ndio yananikosha jmn mpk nimeachaanza kuchart kwa kodi pk +adpol +inoaamn😅😅😅😅

  • @JuliasiHonorati
    @JuliasiHonorati 57 минут назад +3

    Nawa kubali sana ata anae soma hiii comment nawapenda sana mungu awabariki jaman

  • @Princescynth
    @Princescynth 4 минуты назад

    Aki kp ndo ukunywe maji yakuosha nguo kweli jamani. ..nice job guys much love from 254

  • @LylianiSamwel
    @LylianiSamwel Час назад +3

    Nyie hasira achenii inauma mpaka m2 analia ni atari. You see Pablo you people haya mambo yapo.
    Big up Kp and Zebuuu

  • @GatekayvanLight
    @GatekayvanLight 35 минут назад

    Kazi nzuri sana ,kisai uko safi sahii umenyowa🎉🎉🎉

  • @Tripo_ziro
    @Tripo_ziro 13 минут назад

    Bona nampenda kp aki ,love from Kenya 🎉🎉

  • @DanielMugabe-g7r
    @DanielMugabe-g7r Час назад +3

    Kp kazi nzuri shunja wangu liko ipo wapi ama ndo ameteka baba

  • @jsharonkam
    @jsharonkam 13 минут назад +1

    Weee Pablo Acha kuwapinga Sana utawavuja mbavu.

  • @Rahimu-s3n
    @Rahimu-s3n 33 минуты назад

    Oy Pablo umetisha mwanangu sio kwa mangumi hayo kak Big up🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @TabithaAluoch-x3q
    @TabithaAluoch-x3q 37 минут назад +3

    Kenya njoonii🎉🎉🎉🎉🎉

  • @BentetahMwende
    @BentetahMwende 34 минуты назад +2

    Dah hakuna movie tamu kuliko albastini walae,, wapi like za team kp🎉🎉🎉

  • @BasilisaKiroya
    @BasilisaKiroya Час назад +4

    Ambao tunataka kp ashinde tujuane😊

  • @NiyonkuruSolange-u7t
    @NiyonkuruSolange-u7t 13 минут назад +2

    Jamani Pablo uwe unapiga polepole basi😂😂😂

  • @stevenolwombo9519
    @stevenolwombo9519 48 минут назад +4

    Kp muko sawa na pabulo❤❤

  • @RuthNyatuka-qe3kd
    @RuthNyatuka-qe3kd Час назад +1

    Yaani Pablo anatolea mwingine hasira za bubu😂😂😂😂

  • @gracemukati4912
    @gracemukati4912 Час назад +6

    Wa kwanza leo jamani, from kenya
    Naombeni likes zangu😊😊😊

  • @justinendayisenga7180
    @justinendayisenga7180 13 минут назад

    Big up sana kwa kweliiii muda safiii wa kwanza from Bdi 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @MwajumaKhamis-d5b
    @MwajumaKhamis-d5b 19 минут назад

    Jamani Pablo nakukubali sana umeziba pengo la Sheila chukua mauwa yako🥀🌹🥀🌹🥀🌹

  • @JonhKabange
    @JonhKabange 22 минуты назад +2

    Kp kaziyako ni nzuri sana ila una tchelewa mzee

  • @erickakai5766
    @erickakai5766 13 минут назад +1

    Kazi nzuri from Kenya Diani Ukunda

  • @AbbyCute-u2i
    @AbbyCute-u2i 32 минуты назад +1

    Kila siku simu yangu inazingua sijui kwanini ndo maana nakuaga wa mwisho ayah bhan mi kuanzia sasa hiv siwezi ishi bila pabloo na kam unampenda pabloo kwenye hii movie ya albastin mpe🎉🎉🎉 yake❤❤❤❤

  • @AnethMgisha
    @AnethMgisha Час назад +7

    Wanaokubaliana na mm kuwa albastin ni bonge la movie yenye mafundisho makubwa sana kwenye jamii gonga like hapa nawapenda sana mashabiki❤

  • @LolyFadi-t8b
    @LolyFadi-t8b 25 минут назад +2

    Pablo anauchungu utafkir izo mali za kp zinamhusu😮

  • @SmartBoy-n9i
    @SmartBoy-n9i 38 минут назад +1

    Ah pablo ni my favorite asante kwa part14

  • @ZZawadi-s5v
    @ZZawadi-s5v 16 минут назад

    Nimefurahia mzee kuamka tena 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @OnesmusKarisa-hx7lf
    @OnesmusKarisa-hx7lf 5 минут назад

    Kp kakaa Nakukubali sana wewe ndio unae endeleza movie zaid tatu nne Kwa pamoja apa RUclips na zote ni Kali! 🥰😌✌️

  • @RahabuKazuba
    @RahabuKazuba 31 минуту назад +1

    Hesabu Kali sanaa hio

  • @ZuuhHamisi-i5n
    @ZuuhHamisi-i5n Час назад +5

    Hisia za mdoli tabasamu la katuni 45 Pablo Team fulusi wakwanza mm from tz 🇹🇿 to 🇴🇲🇴🇲

  • @RainessCleophacy-i1i
    @RainessCleophacy-i1i 42 минуты назад +1

    Nzr sanaaaaaaaa kaz y KP n ya uhakika

  • @JoyceNyamu-l4t
    @JoyceNyamu-l4t 26 минут назад +1

    Nimengoja sana akh thanks but 15 make sure ijakaa sana🇰🇪

  • @Naimaog
    @Naimaog Час назад +1

    Wooow!🥰🥰kp umerukaje hapo na kukamata hio pstul 😂😂😂Hadi raha

  • @IsaackJunior-m8y
    @IsaackJunior-m8y Час назад +4

    Dah mnachelewa sana hadi mnaboa

  • @Vallarykhasoha
    @Vallarykhasoha 54 минуты назад +2

    Pabloooo jamani kua na hurumaaa😂😂😂

  • @LylianiSamwel
    @LylianiSamwel Час назад +4

    Pablo anapenda kupiga vibaya mpaka kp anaogopa jaman. Pablo punguza dah😅😅😅😅😅

  • @MwinyiCleophace
    @MwinyiCleophace 51 минуту назад +1

    Kazi nzuri kp

  • @FatimabibiBibi-p5w
    @FatimabibiBibi-p5w 49 минут назад +1

    Wow hesabu kwa kp manenos hongera❤❤

  • @IssahSwama
    @IssahSwama 52 минуты назад +1

    Ila mzee likoma ety LAHAULLAAH

  • @FatimabibiBibi-p5w
    @FatimabibiBibi-p5w 31 минуту назад

    Pablo akianza kuua hasikii la mwadhini du😂😂😂😂😂

  • @nurucinemax
    @nurucinemax Час назад +3

    Na vyenye mnlala RUclips wadau jamn mauwa yenu😂19m watu 120 mm wa 121❤❤mob love kwanu from kenya

  • @MusaJohnson
    @MusaJohnson Час назад +3

    Watuu na mnajaa harakaa😂😂,,

  • @OmmyFamily
    @OmmyFamily 37 минут назад +2

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏 Kaz nzuri vipenzi

  • @kalistarkwamboka
    @kalistarkwamboka 52 минуты назад +2

    Haai kwani mulikua mnaizubili sana, nafikili nimetangulia kumbe wapi😅😅😅

  • @BlessingKitsa
    @BlessingKitsa 45 минут назад +2

    Wa kwanza toka Congo mtu aki like comment yangu, nitarudiya Ku visual iyi vidéo

  • @KhatibuMsukulu
    @KhatibuMsukulu Час назад +3

    First one

  • @Rafhaelmutha
    @Rafhaelmutha Час назад +5

    Tumsifu yesu ndugu zangu 🎉🎉🎉🎉

  • @yudamagesa5594
    @yudamagesa5594 Час назад +2

    Da watu mko makini hatari du😂😂😂

  • @MagretyyJonh
    @MagretyyJonh 40 минут назад +1

    Jamn 2napend kaz zenu ninzur sana tena San Ila 2naomba hata kwa wik mtowe vipand hat viwil

  • @SwabrinaamoohSwabrinaamooh-e3r
    @SwabrinaamoohSwabrinaamooh-e3r 37 минут назад

    Pablo jaman 🤣🤣🤣🤣kwenye hii move uliweza Wallah 🎉🎉🎉🎉from Kenya 🇰🇪

  • @NITSONDAUDI
    @NITSONDAUDI 7 минут назад +2

    Kp congratulations

  • @MerryBenardShani
    @MerryBenardShani Час назад +1

    Tuliokimbia hesabu tujuane Pablo wee mwenzangu 😂😂😂

  • @AbelEmanuel-y3g
    @AbelEmanuel-y3g Час назад +4

    Kutoka kwimba mwanza maua yangu🎉🎉 nimewahi

  • @Eduog12
    @Eduog12 55 минут назад +4

    Mimi nimekuwa mtu wa elfu mia moja kuona naombeni likes jamani 😂😂😂😂

  • @GyakieMariki-fe4zp
    @GyakieMariki-fe4zp Час назад

    Watuu hamlalii dk 22 utazanii janaaa mmetishaaa.sana

  • @كازاكاهيند
    @كازاكاهيند 9 минут назад

    Kp uko vizuri xnaaa kwa Maths congratulations

  • @kijamission5337
    @kijamission5337 Час назад +4

    Wakwanza nipeni like 10000❤

  • @Malin2001
    @Malin2001 25 минут назад

    Amsalimie marehemu kanumba Pablo jamani😂😂😂😂

  • @DianaPascal-vv4we
    @DianaPascal-vv4we Час назад +4

    Hongera kp

  • @RemtahNanzala-k3k
    @RemtahNanzala-k3k Час назад +2

    Mimi leo watatu from Kenya

  • @AbbyCute-u2i
    @AbbyCute-u2i 15 минут назад

    Binadamu damumu😂😂😂😂 pabloo umejua kunichekesha bhan😂😂😂😂 nawapenda sana jama

  • @BalushbalushBalush-m7r
    @BalushbalushBalush-m7r 39 минут назад +1

    Munamtafuta mutu mwenye akona kula pata😂😂😂😂😂 acheni like

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 29 минут назад

    Nami lzo nimewahi kwamara yakwanza nasijawzhi kupewa like hatasiku moja lakini na enjoy sana na albastin🎉🎉🎉🎉

  • @azzasaloom7387
    @azzasaloom7387 58 минут назад +2

    Watu mpo makini sekunde tu tayari mshajaaa😂😂😂

  • @FzvvzChhxgdgd
    @FzvvzChhxgdgd 12 минут назад

    Pablo ndo mdoli mwenyw sasa 😂😂😂❤

  • @KhairatAli-hx6xi
    @KhairatAli-hx6xi Час назад +1

    Cja cherewa sana hongeren 🎉🎉🎉❤❤❤🎉🎉

  • @Maty-s1r
    @Maty-s1r Час назад +5

    Nice 🎉🎉🎉

  • @MrsDariya-y1j
    @MrsDariya-y1j Час назад +1

    Pabro anaupiga mwingi🎉

  • @GyakieMariki-fe4zp
    @GyakieMariki-fe4zp Час назад

    Pabloooooo🎉🎉🎉🎉🎉 tabasamuu la mdolii

  • @GraceAyuma-k3h
    @GraceAyuma-k3h 22 минуты назад

    Ila Pablo apewe chakula kingi ubebe MTU Na gas my friend

  • @NeemaHand
    @NeemaHand Час назад

    Daaaah!!! Pablo ana hasira

  • @PaulineJohn-y6z
    @PaulineJohn-y6z Час назад +3

    Ata mm mnipatie likes aki

  • @EunicyAwino
    @EunicyAwino 50 минут назад +1

    Bablo wàaaaaaaaa unajua mwenye asha kufa

  • @MuuoKyalo-q3q
    @MuuoKyalo-q3q Час назад +1

    Mm nae cjawai kosa kulike ata moja ❤

  • @carolinengami4112
    @carolinengami4112 50 минут назад +3

    Mnaona aje mkilike lakini sijaomba

  • @DonMooFILMES_Express
    @DonMooFILMES_Express Час назад +5

    😂 *PABLO 🌹 Umenikumbusha dogo mmoja alitisha sana zamani kidogo kwenye filamu iitwayo MJOMBA, NIMEOKOKA n.k alikuwa anaitwa SAM akiwa na akina KALAN 😂*

  • @CrsAlzaid
    @CrsAlzaid 30 минут назад

    We Pablo mbona hatari sana mwanangu umetisha sana anyway am from Mombasa Kenya ❤

  • @charlesomari5244
    @charlesomari5244 Час назад +2

    From Kenya, we ❤you guys

  • @FestoMbogoni
    @FestoMbogoni 41 минуту назад +1

    Wakwanza kutoka Dom naomben like 🎉🎉

  • @FloraElikana
    @FloraElikana 5 минут назад

    Kazi nzuri 🎉🎉🎉

  • @safarijelemia
    @safarijelemia Час назад +4

    Leo nimekuwa wa kwanza anae penda kp kuwa mshindi gonga like ❤❤❤

  • @Sharlet-i3i
    @Sharlet-i3i 11 минут назад +1

    Kp zebuu anakuchezea mchezo kwa hiyo jiandae

  • @Mrdrumslazarus
    @Mrdrumslazarus 3 минуты назад

    Me no291 nimewahi kwa nafasi yangu niwatakie maandalizi mema ya pasaka❤❤🎉

  • @DolinKavishe
    @DolinKavishe Час назад +2

    Wa 50 naomb like 😂😂😂

  • @TwalbuMhidini
    @TwalbuMhidini Час назад +2

    Uwakika sana